Shule za awali.

  1. CONSOLATA NURSERY

Shule inamilikiwa na Shirika la Watawa Wamisionari Consolta na inapatikana Gangilonga, namba za mawasiliano 0674596073.

  1. ALFONCE NURSERY

Shule inapatikana Parokia ya IHIMBO, namba yake ya usajili ni EA, namba za mawasiliano 0744892963.

  1. ST JEROME NURSERY

Shule inapatikana Parokia ya Tosamaganga, namba ya mawasiliano 0762878243

  1. JOSEPH NURSERY

Shule inapatikana Parokia ya Ipogolo.

.