Adhimisho La Kilele Cha Yubilei Ya Miaka 125 Ya Uinjilishaji Iringa Na Miaka 50 Ya Upadre Wa Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa
|

Adhimisho La Kilele Cha Yubilei Ya Miaka 125 Ya Uinjilishaji Iringa Na Miaka 50 Ya Upadre Wa Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa

Walioongoza Jimbo la Iringa Historia Ya Baba Askofu Mhashamu Tarcisius J.M Ngalalekumtwa Askofu Tarcisius J.M Ngalalekumtwa alizalkiwa tarehe 25.10.1948 katika kijiji cha Banawanu kilichopo Parokiani Tosamaganga. Wazazi wake ni Joseph Ngalalekumtwa na Mama ni Magdalena Sekutika. Alibatizwa Parokiani Tosamaganga tarehe 15.11.1956. na siku hiyo alipewa Sakramenti ya Kipaimara na Mhasahamu Askofu Attilio Betramino, I.M.C na…

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa Jubilei Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa Jubilei Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre

Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa anawaalika Mapadre kumtazama na kumtafakari Kristo Yesu aliyejitoa kama: Mwalimu, Mchungaji na Kiongozi, akaonesha uaminifu, utii na upendo usiokuwa na mipaka kwa waja wake. Uaminifu wa Kristo uwe ni changamoto ya uaminifu wa Mapadre unaojionesha kwa namna ya pekee katika: upendo, unyofu, unyenyekevu, huruma na huduma makini kwa watu wa Mungu….

Masista Wamisionari Waconsolata Kuadhimisha Jubilei Ya Miaka 100 Tanzania Januari 30,2023

Masista Wamisionari Waconsolata Kuadhimisha Jubilei Ya Miaka 100 Tanzania Januari 30,2023

Masista wa Shirika Kitawa Bikira Maria Consolata (M.C) ifikapo Januari 30,2023 wataadhimisha Jubilei ya miaka 100 ya Shirika lao tokea wafike nchi ya Tanzania. Akiongea na Kiongozi hivi karibuni Mama Mkuu upande wa malezi kwa nchi ya Tanzania Sr. Hortensia Damian (M.C) amesema kuwa, shirika hilo lilianzishwa mwaka 1910 nchi ya Italia Torino na Mwenye…

Jimbo Katoliki Iringa lapata Mashemasi watatu (3)

Jimbo Katoliki Iringa lapata Mashemasi watatu (3)

ASKOFU Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki la Iringa ametoa daraja Takatifu la ushemasi kwa mafrateli 3 wa jimbo hilo na kuwataka kuwa wacha Mungu, wanyenyekevu, wasafi na wenye roho ya huruma. Misa ya kutoa daraja hilo imefanyika katika Kanisa la Kiaskofu la Moyo Mt. wa Yesu  Parokia ya Kihesa na kuhudhuriwa na mapadre, watawa kike…

Maadhimisho ya Misa ya Kuwaombea Marehemu

Maadhimisho ya Misa ya Kuwaombea Marehemu

Askofu Tarcicius Ngalalekumtwa, amewaongoza waamini wa jimbo la Iringa katika Misa Takatifu ya kuwaombea marehemu maaskofu, mapadre watawa wa kike na kiume pamaja na waamini walei wa Jimbo. Misa hiyo imefanyika kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Tosamaganga, na mara baada ya Misa hiyo askofu Ngalalekumtwa pamoja na baadhi ya mapadre wameyabariki…

Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa azindua miaka 50 ya WAWATA Jimbo

Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa azindua miaka 50 ya WAWATA Jimbo

MHASHAMU Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amezindua Yubilei ya Miaka 50 ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa Jimbo la yaliyoadhimishwa kwenye Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Kihesa. Mwenyekekiti wa WAWATA taifa, Bi. Evelin Malisa Mtenga amesema kwamba amesewataka akina mama hao watambue kwamba wao ni jeshi kubwa na kazi wanayoifanya kwa…

Kigango cha Mgama sasa ni Parokia rasmi

Kigango cha Mgama sasa ni Parokia rasmi

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki la Iringa hivi karibuni amezindua Parokia mpya ya Mgama na kumteua Padre Augen Ngatunga kuwa paroko wa kwanza wa parokia hiyo. Hapo awali Parokia hiyo ilikuwa ni kigango cha parokia ya Ifunda. Pamoja na kuzindua parokia hiyo ambayo inalifanya Jimbo kuwa na idadi ya parokia 44, pia askofu Ngalalekumtwa…

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne  (4) .
|

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne (4) .

Daraja Takatifu la Upadrisho limetolewa na Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo  Katoliki la Iringa ambako ibada  imefanyika kwenye viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mt. Wa Yesu Parokia ya Kihesa, siku ya Alhamisi tarehe 26, Agosti 2021. Adimisho hilo lilitanguliwa na ibada ya masifu jioni ambapo mashemasi hao waliweka viapo siku…

|

Ibada ya Maadhimisho ya Upadrisho 25-26 Agosti 2021

Tunafurahi kwamba Mwenyezi Mungu amewachagua hawa makuhani kutoka katika familia ya wabatizwa wa Jimbo la Iringa; ili awaweke wakfu kwa ajili ya mambo matakatifu yamhusuyo Mungu katika mpango wake wa kuwakomboa wanadamu. Maana kila kuhani mkuu aliyeteuliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yamhusuyo Mungu; ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili…