Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne  (4) .
|

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne (4) .

Daraja Takatifu la Upadrisho limetolewa na Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo  Katoliki la Iringa ambako ibada  imefanyika kwenye viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mt. Wa Yesu Parokia ya Kihesa, siku ya Alhamisi tarehe 26, Agosti 2021. Adimisho hilo lilitanguliwa na ibada ya masifu jioni ambapo mashemasi hao waliweka viapo siku…

|

Ibada ya Maadhimisho ya Upadrisho 25-26 Agosti 2021

Tunafurahi kwamba Mwenyezi Mungu amewachagua hawa makuhani kutoka katika familia ya wabatizwa wa Jimbo la Iringa; ili awaweke wakfu kwa ajili ya mambo matakatifu yamhusuyo Mungu katika mpango wake wa kuwakomboa wanadamu. Maana kila kuhani mkuu aliyeteuliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yamhusuyo Mungu; ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili…