Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa azindua miaka 50 ya WAWATA Jimbo
MHASHAMU Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amezindua Yubilei ya Miaka 50 ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa Jimbo la yaliyoadhimishwa kwenye Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Kihesa. Mwenyekekiti wa WAWATA taifa, Bi. Evelin Malisa Mtenga amesema kwamba amesewataka akina mama hao watambue kwamba wao ni jeshi kubwa na kazi wanayoifanya kwa…