Pd. Emil Kindole - Paroko Nyabula

NYABULA
S.L.P 170 IRINGA,
Parokia ya Nyabula Ilianzishwa 1932,
Sikukuu ya msimamizi ni 08/04,
Msimamizi ni Bikira Maria Mama wa Shauri Jema.
Umbali toka Makao Makuu ya Jimbo ni Km 20.
+255 768396957
Email: emilkindole@yahoo.com

HISTORIA FUPI

Eneo la Nyabula kama Parokia lilikuwa ni eneo lote la Udzungwa yakiwemo maeneo ambayo baadaye yalitengwa na kufanywa parokia. Maeneo hayo ni Kilolo, Usokami, Ng’ingula na Madege. Hata hivyo eneo letu bado ni kubwa na lina vigango 23 ambavyo vimegawanyika katika kanda tatu:

Kanda ya Nyabula:  Nyabula, Ikuvilo, Kitayawa, Tagamenda, Wangama, Igula, Mlanda, Malulumo.

Kanda ya Ihimbo: Ihimbo, Ndiwili, Itimbo, Lukago, Utengule, Isoliwaya, Iwindi, na Italula.

Kanda ya Magulilwa: Magulilwa, Negabihi, Msuluti, Kinyaminyi, Ng’enza, Lupembelwasenga na Itwaga.

Kuhusu Parokia

Kuanzishwa kwa Parokia ya Nyabula

Tangu Parokia ianzishwe miaka 89 iliyopita kuna wakatoliki zaidi ya 30,000 ndanimo wakiwemo watawa wa kike 34, watawa wa kiume 7, Mapadre Philipo Mihafu (Marehemu), Beatus Mhaluka, Askofu Paskali Kikoti – Mpanda (sasa Marehemu), Cyprian Mvanda IMC na Isaya Tovagonze na Fr. Simon Luhwago.

Maparoko Waliohudumia Parokia ya Nyabula Toka 1932 -2021

  • Fr. Emilio Ogge. 1932- 1934. (2),
  • Fr. Carlo Viglietti. 1934- 1945. (11),
  • Fr. Eusebio Natale 1946-1959 (13),
  • Fr. Egidio Crema. 1959-1965. (6),
  • Fr. Romano Ceschia 1966-1976. (10),
  • Fr. Joseph Moratti. 1976-1981. (5),
  • Fr. Luciano Scaccia. 1982-1985 (3),
  • Fr. Mario Bassegio 1985- 1996 (11),
  • Fr. Romano Ceschia. 1997–2000(3),
  • Fr. Corneli Dalzocchio 2001-2003(2),
  • Fr. Peter Lumiri. 2003-2005(2),
  • Fr. Benjamin Mfaume 2005-2007(2),
  • Fr. Emil Kindole. 2007….
    hadi sasa

Watawa Wazawa. (Watawa Wetu Parokia Ya Nyabula)

Kigango cha Nyabula

  • Sr. Yovita Mngaya CST,
  • Sr. Yovita Mlawa CST,
  • Sr. Susanna Chaula,
  • Sr. Lidia Mlawa OSB,
  • Sr. Joyce Samila IVREA,
  • Br. Melkisedeki Mlula SCIM,
  • Br. Isaya Luvanga SCIM.

Kigango cha Tagamenda

  • Br. Fransisco Myovela SCIM,
  • Sr. Kristina Myovela CST.

Kigango cha Malulumo

  • Sr. Matilda Chuhila, CST
  • Sr. Magdalena Mgaya, SMI.

Kigango cha Wangama

  • Sr. Chelestina Balama,
  • Sr. Getrude Kilovele CST,
  • Sr. Sandramarta Mfilinge CST,
  • Sr. Kristina Kitosi CST.

Kigango cha Kitayawa

  • Sr. Augusta Kawaganise OSB.

Kigango cha Igula

  • Fr. Cyprian Mvanda IMC,
  • Sr. Ernestina Kihaga CST,
  • Sr. Fabiana Mvanda SMI.

Kigango cha Itwaga

  • Sr. Rosemary Mdota ,
  • Sr. Onarata Ngeng’ena CST.

Kigango cha Ng’enza

  • Br. David Nyamba – SCIM.

Kigango cha Msuluti

  •  

Kigango cha Utengule.

  • Sr. Kalista Ludege CST,
  • Sr. Espedita Ludege,
  • Sr. Fridolina/Roida Ludege, FSC
  • Sr. Maria Mtakimwa CST,
  • Sr. Elizabeti Mgata CST.
  • Sr. Sabina Witness Samila, CST.
  • Sr. Sophia Mgata, OSB.

Kigango cha Ihimbo

  • Sr. Pierina Chuvaka CST,
  • Sr. Kristina Kihongosi CST,
  • Sr. Ernestina Kalengela CST.

Kigango cha Lupembelwasenga

  • Sr. Getrude Mgidula.
  • Sr. Anwalite/Teodora Kisonga, 
  • Sr. Augusta Kinyafu.

Kigango cha Kinyaminyi

  • Br. Antony Katembo – OSB

Kigango cha Mlanda

  • Sr. Tekla Kawage CST,
  • Sr. Maria Kiyeyeu CST.
  • Sr. Noberta Kibasa.
  • Sr. Desdelia Tenywa.

Kigango cha Ikuvilo

  • Frt. Joseph Mihafu, IMC.

Kigango cha Ndiwili

  •  

Kigango cha Itimbo

  •  

Kigango cha Lukago

  •  

Kigango cha Isoliwaya

  •  

Kigango cha Iwindi

  •  

Kigango cha Italula

  •  

Kigango cha Magulilwa

  •  

Kigango cha Negabihi

  •  

Waseminari na Maketekista Wetu Parokia Ya Nyabula

Kigango cha Nyabula

  • Frt. Andrew Mkaranga
  • Msem. Benedict Luhanga,
  • Msem. Emmanuel Kimbe,
  • Msem. Dalmasio Mlawa,
  • Msem. Alfred Mabiki.
  • Msem. Victor Luvanga.
  • Msem. Abel Chetenge,
  • Kat. Angelo Chaula
  • Kat. Chesco Mlawa,
  • Kat. Paulo Mlula.

Kigango cha Tagamenda

  • Msem. John Komba,
  • Kat. Vicent Kutika,
  • Kat. Philimino Luvanga.
  • Kat. Francis Kadebe.

Kigango cha Malulumo

  • Msem. Benjamini Chilo,
  • Msem. Petro Muhagama.
  • Kat. Lenatus Myovela.

.

Kigango cha Wangama

  • Kat. Valentino Kibumu,
  • Kat. Cyprian Balama.

Kigango cha Kitayawa

  • Kat. Julius Luvingo,
  • Kat. Casian Mpyamagulu.

Kigango cha Igula

  • Kat. Augustino Haule,
  • Kat. Charles Mlonga.

Kigango cha Itwaga

  • Kat. Fidelis Mitawo.

Kigango cha Ng’enza

  • Kat. Yohanes Mtuga,
  • Kat. Joseph Kavindi,
  • Kat. Marco Chussu.

Kigango cha Msuluti

  • Kat. Castor Nyemba,
  • Kat. Alfred Kiyeyeu.

Kigango cha Utengule.

  • Frt. Adeus Mgata,
  • Kat. Yohanes Maluli,
  • Kat. Fernand Chang’a,

Kigango cha Ihimbo

  • Kat. Ambrose Mwallo.

Kigango cha Lupembelwasenga

  • Kat. Felix Kihanga,
  • Kat. Philemon Mwaluka.

Kigango cha Kinyaminyi

  • Kat. Amoni Lubugo,
  • Kat. Musa Balama.

Kigango cha Mlanda

  • Msem. Christian Mgata,
  • Kat. Regnand Malinga,
  • Kat. John Kawage.

Kigango cha Ikuvilo

  • Frt. Joseph Mihafu, IMC.
  • Kat. Teopista Mihafu,
  • Kat. Justine Mlawa,
  • Kat. Bertina Kihwelo.

Kigango cha Ndiwili

  • Kat. Norbet Kilieni,
  • Kat. William Salufu.

Kigango cha Itimbo

  • Kat. Carlo Kikoti,
  • Kat. Joseph Muhanga,
  • Kat. Mateo Mhanga.

Kigango cha Lukago

  • Kat. Mchael Kasuga,
  • Kat. Aloyce Kasenegala.

Kigango cha Isoliwaya

  • Kat. Kalistus Luwago.

Kigango cha Iwindi

  • Kat. Luka Mwikeve.

Kigango cha Italula

  • Kat. Yovita Mbata.

Kigango cha Magulilwa

  • Kat. Damas Mkane,
  • Kat. Benedicto Matinya,
  • Kat. Salome Mbunju.

Kigango cha Negabihi

  • Kat. Innocent Msigala,
  • Kat. Yohane Mwagange.

Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao. Waebrania 12:14

Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njooni mbele zake kwa kuimba. Zaburi 100:2.