Shule za msingi.

  1. Little Flower , shule inapatikana Parokia ya Kilolo, mawasiliano 0745124629
  2. Mary Queen of hope, namba za usajili EM.20377, shule ipo maeneo ya Viwengi na inamilikiwa na Shirika la Watawa Mary Queen of hope, mawasiliano 0768639469. Ilianzishwa mwaka 2023
  3. Felix, shule inapatikana Parokia ya Ilula ina namba za usajili EM 17575, mawasiliano 0762250992. Ilianzishwa mwaka 2018.
  4. Ambrose, shule inapatikana Isimila, ina namba za usajili EM 18997, mawasiliano 0735959592. Ilianzishwa mwaka 2021.
  5. Charles, shule inamilikiwa na Masista wa St. Charles Borromeo, inapatikana Don Bosco Iringa, namba zake za usajili ni IR. 01/3/005, namba za mawasiliano 0789613488. Ilianishwa mwaka 1999.
  6. Dominic Savio, shule inamilikiwa na Jimbo la Iringa,ipo maeneo ya Wilolesi ina namba za usajili IR.01/3/E.A 010 mawasiliano 0758674874. Ilianzishwa mwaka 2005.
  7. Dominic Savio Kigonzile, shule inamilikiwa na Jimbo la Iringa, ipo maeneo ya Kigonzile namba za usajili EM.17667. Ilianzishwa mwaka 2018.
  8. Dominic Ngelewala, shule inamilikiwa na Jimbo la Iringa, ipo maeneo ya Ngelewala namba za usajili ni EM.19684, namba za mawasiliano 0652283630. Ilianzishwa mwaka 2022.
  9. Dominic Mkimbizi, shule inamilikiwa na Jimbo la Iringa, ipo maeneo ya Mkimbizi namba za usajili EM.17611, namba za mawasiliano 0764416743. Ilianzishwa mwaka 2018.
  10. Francis Xavery, shule inamilikiwa na Parokia ya Wasa, inapatikana maeneo ya Parokia ya Wasa- Iringa DC, namba za usajili ni EM 19720, namba za mawasiliano 0754545595. Ilianzishwa mwaka 2024.
  11. Joseph Kibwabwa, shule inamilikiwa na Parokia ya Ipogolo yenye namba za usajili EM. 20004, namba za mawasiliano 0752122682.
  12. Thomas Nyabula, shule inamilikiwa na Parokia ya Nyabula ina namba za usajili EM 19401, mawasiliano 0746299206.

.