Huduma ya Hostel – Booking & Reservation
Jimbo Katoliki la Iringa linakaribisha wageni wote kutumia huduma zake za Hostel, zinazotoa malazi salama, tulivu na yenye heshima kwa muda mfupi au wa kati. Hostel zetu zinafaa kwa wanafunzi, wahudumu wa kanisa, wageni wa taasisi, washiriki wa semina na makongamano, pamoja na wageni binafsi.
Sifa za Hostel
Vyumba safi na salama
Mazingira tulivu na yenye heshima
Maji safi na umeme wa uhakika
Usalama wa kutosha
Mahali panapofaa kwa kupumzika na kujisomea
Jinsi ya Kufanya Booking / Reservation
Ili kufanya booking ya malazi:
Wasiliana nasi kupitia simu: 0767873842, 0765750303 & 0769064523 au barua pepe: dioceseofir@hotmail.com
Timu yetu itakuthibitishia upatikanaji wa chumba na kukupa maelezo zaidi kuhusu gharama na taratibu za malipo.
Karibu Ukaribishwe
Tunakaribisha wageni wote kufurahia huduma ya malazi katika mazingira ya amani, utulivu na maadili mema.
Kanisa kuu la dayosisi hiyo lipo Iringa kilomita chache kutoka katikati ya jiji eneo la Kihesa.
