Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa Jubilei Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa Jubilei Miaka 50 ya Daraja Takatifu ya Upadre

Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa anawaalika Mapadre kumtazama na kumtafakari Kristo Yesu aliyejitoa kama: Mwalimu, Mchungaji na Kiongozi, akaonesha uaminifu, utii na upendo usiokuwa na mipaka kwa waja wake. Uaminifu wa Kristo uwe ni changamoto ya uaminifu wa Mapadre unaojionesha kwa namna ya pekee katika: upendo, unyofu, unyenyekevu, huruma na huduma makini kwa watu wa Mungu….

Masista Wamisionari Waconsolata Kuadhimisha Jubilei Ya Miaka 100 Tanzania Januari 30,2023

Masista Wamisionari Waconsolata Kuadhimisha Jubilei Ya Miaka 100 Tanzania Januari 30,2023

Masista wa Shirika Kitawa Bikira Maria Consolata (M.C) ifikapo Januari 30,2023 wataadhimisha Jubilei ya miaka 100 ya Shirika lao tokea wafike nchi ya Tanzania. Akiongea na Kiongozi hivi karibuni Mama Mkuu upande wa malezi kwa nchi ya Tanzania Sr. Hortensia Damian (M.C) amesema kuwa, shirika hilo lilianzishwa mwaka 1910 nchi ya Italia Torino na Mwenye…

Jimbo Katoliki Iringa lapata Mashemasi watatu (3)

Jimbo Katoliki Iringa lapata Mashemasi watatu (3)

ASKOFU Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki la Iringa ametoa daraja Takatifu la ushemasi kwa mafrateli 3 wa jimbo hilo na kuwataka kuwa wacha Mungu, wanyenyekevu, wasafi na wenye roho ya huruma. Misa ya kutoa daraja hilo imefanyika katika Kanisa la Kiaskofu la Moyo Mt. wa Yesu  Parokia ya Kihesa na kuhudhuriwa na mapadre, watawa kike…

Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa azindua miaka 50 ya WAWATA Jimbo

Mhashamu Baba Askofu Ngalalekumtwa azindua miaka 50 ya WAWATA Jimbo

MHASHAMU Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amezindua Yubilei ya Miaka 50 ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwa Jimbo la yaliyoadhimishwa kwenye Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Kihesa. Mwenyekekiti wa WAWATA taifa, Bi. Evelin Malisa Mtenga amesema kwamba amesewataka akina mama hao watambue kwamba wao ni jeshi kubwa na kazi wanayoifanya kwa…

Kigango cha Mgama sasa ni Parokia rasmi

Kigango cha Mgama sasa ni Parokia rasmi

Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo Katoliki la Iringa hivi karibuni amezindua Parokia mpya ya Mgama na kumteua Padre Augen Ngatunga kuwa paroko wa kwanza wa parokia hiyo. Hapo awali Parokia hiyo ilikuwa ni kigango cha parokia ya Ifunda. Pamoja na kuzindua parokia hiyo ambayo inalifanya Jimbo kuwa na idadi ya parokia 44, pia askofu Ngalalekumtwa…