Adhimisho La Kilele Cha Yubilei Ya Miaka 125 Ya Uinjilishaji Iringa Na Miaka 50 Ya Upadre Wa Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa
|

Adhimisho La Kilele Cha Yubilei Ya Miaka 125 Ya Uinjilishaji Iringa Na Miaka 50 Ya Upadre Wa Askofu Tarcisius J.M. Ngalalekumtwa

Walioongoza Jimbo la Iringa Historia Ya Baba Askofu Mhashamu Tarcisius J.M Ngalalekumtwa Askofu Tarcisius J.M Ngalalekumtwa alizalkiwa tarehe 25.10.1948 katika kijiji cha Banawanu kilichopo Parokiani Tosamaganga. Wazazi wake ni Joseph Ngalalekumtwa na Mama ni Magdalena Sekutika. Alibatizwa Parokiani Tosamaganga tarehe 15.11.1956. na siku hiyo alipewa Sakramenti ya Kipaimara na Mhasahamu Askofu Attilio Betramino, I.M.C na…

Maadhimisho ya Misa ya Kuwaombea Marehemu

Maadhimisho ya Misa ya Kuwaombea Marehemu

Askofu Tarcicius Ngalalekumtwa, amewaongoza waamini wa jimbo la Iringa katika Misa Takatifu ya kuwaombea marehemu maaskofu, mapadre watawa wa kike na kiume pamaja na waamini walei wa Jimbo. Misa hiyo imefanyika kwenye kanisa la Moyo Mtakatifu wa Yesu Parokia ya Tosamaganga, na mara baada ya Misa hiyo askofu Ngalalekumtwa pamoja na baadhi ya mapadre wameyabariki…

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne  (4) .
|

Jimbo Katoliki la Iringa lapata mapadre wapya wanne (4) .

Daraja Takatifu la Upadrisho limetolewa na Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa wa Jimbo  Katoliki la Iringa ambako ibada  imefanyika kwenye viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu la Moyo Mt. Wa Yesu Parokia ya Kihesa, siku ya Alhamisi tarehe 26, Agosti 2021. Adimisho hilo lilitanguliwa na ibada ya masifu jioni ambapo mashemasi hao waliweka viapo siku…

|

Ibada ya Maadhimisho ya Upadrisho 25-26 Agosti 2021

Tunafurahi kwamba Mwenyezi Mungu amewachagua hawa makuhani kutoka katika familia ya wabatizwa wa Jimbo la Iringa; ili awaweke wakfu kwa ajili ya mambo matakatifu yamhusuyo Mungu katika mpango wake wa kuwakomboa wanadamu. Maana kila kuhani mkuu aliyeteuliwa katika wanadamu amewekwa kwa ajili ya wanadamu katika mambo yamhusuyo Mungu; ili atoe matoleo na dhabihu kwa ajili…